Skip to main content

Afisa wa Polisi Auguza Majeraha Baada ya Kuruka Nje ya Dirisha Akiota Usiku

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 5 November 2019.

Polisi mmoja alikuwa na majeraha mabaya baada ya kuruka nje ya dirisha la chumba chake cha kulala akiota usiku katika kituo cha polisi cha Nanyuki, eneo la Laikipia Mashariki.

Aliyetambulika kama Harrison Karagu alikuwa na majeraha mabaya ya kukatwa katwa mikononi na miguuni baada ya kuanguka mita tatu kutoka katika chumba chake cha kulala.

Alisema aliruka nje ya dirisha hilo mwendo wa saa nne usiku kutokana na ndoto ya kuogofya, kulingana na taarifa ya K24 Digital.

Polisi huyo alikimbizwa hospitalini na majirani zake ambao waligutushwa kutokana na tukio hilo.

Maafisa wa trafiki wakiwa kazini. Picha: Citizen.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →