Skip to main content

Mabasi ya Shule Zilizokwama katika Mbuga ya Tsavo

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 25 October 2019.

Alhamisi, Oktoba 24, mvua kubwa ilianza kunyesha eneo la Tsavo, kusababisha mafuriko makubwa na kufanya mabasi mawili ya shule yaliokuwa yamewabeba wanafunzi yakwama katika mbuga ya wanyama ya Tsavo.

Shule hizo hazijatambulika, lakini mashirika ya msalaba mwekundu na KWS yanawajibika kudhibiti hali.

Idara ya hali ya anga ilitoa tahadhari kuhusu kushuhudiwa kwa mvua kubwa katika maeneo mbali mbali ya nchi, ambayo itaendelea hadi Jumapili Oktoba 28.

Tayari watu 29 wameripotiwa kufariki dunia huku zaidi ya 11,000 wakipoteza makazi kutokana na mafuriko.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →