Skip to main content

Post-breakup blues? Three-pointers to live by, says Hamisa Mobetto

N

Nyakundi Report

Newsroom 2 min read

This archive report was first published on 23 May 2020.

Post-breakup blues? Three-pointers to live by, says Hamisa Mobetto

Published on May 23, 2020, Hamisa Mobetto, a Tanzanian entrepreneur and mother of two, has shared her insights on how to navigate post-breakup blues.

After experiencing a series of heartbreaks, including her split from Wasafi Classic Baby (WCB) boss Diamond Platnumz, Mobetto took to Instagram to offer advice on how to engage with others when a relationship ends.

She emphasized that it's essential to recognize that relationships can sometimes crack and separation is inevitable. Mobetto also pointed out that despite all vows and wishes for a relationship to last an eternity, there are fundamental rules ex-partners must note when it withers and dies.

"Kuna wakati itabidi uachane na mtu uliyekuwa unampenda sana na ulidhani utakuwa naye kwa muda mrefu," wrote Mobetto. "Kuna wakati katika maisha utalazimika kuachana na watu, ofisi…. n.k. Ukifika wakati huu kuna mambo ya kuzingatia."

"Sio lazima uanzishe ugomvi na unaoachana nao. Unaweza kuachana kwa heshima na utulivu. Kumbuka kuachana sio vita, mnaweza kuachana na maisha yakaendelea. Sio lazima uwageuze adui wale unaowaacha au wanaokuacha. Maisha yana majira na kila mtu anatakiwa kuwa mahali fulani kwenye majira tofauti," she stated.

Mobetto also added that exes should be alive to the feeling of hurt and accept when a relationship is unsalvageable. "Pokea maumivu na yakubali. Haitasaidia kutokubali uhalisia. Kama mtu ameamua kuondoka, hakuna namna. Haitasaidia kukataa uhalisia, badala yake jipange kwa hatua inayofuata," added Mobetto.

Lastly, the vixen emphasized why hate after a breakup could dampen new prospects, including finding love again. "Usijilazimishe kuonyesha ubaya wa unayeachana naye. Kumbuka mafanikio ya unakokwenda hayajabebwa na watu kujua ubaya wa unayeachana naye bali yamebebwa katika dhamira safi ya unachokwenda kufanya. Hakuna umuhimu wa kumpaka matope unayeachana naye," she posted.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →