Skip to main content

Kundi la Nyuki Lasimamisha Mechi ya Kombe la Shirikisho

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 22 December 2019.

Mezi ya Disemba 21, 2019, mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya vilabu vya Tanzania Young Africans (Yanga) na Iringa United ilisimamishwa baada ya kundi la nyuki kuvamia uwanja huo na kuwachochea wachezaji kuzua taharuki.

Wachezaji kutoka upande zote mbili walilala chini huku wengine wakichana mbuga.

Ali Mtoni Sonso, mchezaji mmoja wa Yanga, alijeruhiwa wakati wa tukio hilo na alitafuta huduma ya kwanza kutoka kwa benchi ya klabu kabla ya kurejea uwanjani.

Wakati huo huo, nyuki hao hawakuwazuia vijana wa Mwinyi Zahera kutwaa ushindi katika mechi hiyo huku wakisajili 4-0 dhidi ya wapinzani wao.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →