This archive report was first published on 20 December 2019.
Kituo cha Habari cha Taifa Leo kwa mujibu wa taarifa zilizopo, usiku wa kisanga kalameni aliwasili nyumbani kwa rafiki yake kama ilivyokuwa ada yake asijue kilichomsubiri.
Alipofika, alikuwa na hasira na alinguruma kwa rafiki yake kwa kusema, "Kabla sijaoa, hukuwa unaitembelea lakini sasa imekuwa lazima kama ibada. Ni wazi unamnyemelea mke wangu. Ondoka hapa mara moja na sitaki kukuona tena!".
Alipojaribu kujitetea kwa kusema alimtembelea mwenzake kutokana na urafiki wao wadhati, rafiki yake hakutaka kusikia na alisimama ghafla na kumnyanyua kutoka kwa kiti na kurusha nje.