Skip to main content

Moses Kuria atania waliopanga maandamano dhidi yake ▷ Kenya News

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 18 December 2019.

Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria alitania waandamani waliofanya maandamano kwenye eneo bunge lake Jumatano, Disemba 18, 2019.

Maandamano hayo yalikuwa kwa kushutumu Kuria kwa madai ya kukosa kumheshimu Rais Uhuru Kenyatta.

Waandamanaji katika eneo bunge la Gatundu Kusini wakiteta dhidi ya mbunge wao. Picha: Moses Kuria

Maandamano hayo yalikuwa kwa kushutumu Kuria kwa madai ya kukosa kumheshimu Rais Uhuru Kenyatta.

"Leo maadui wa maendeleo walikuwa wamepanga maandamano ya mamilioni ya watu dhidi yangu Gatundu," alisema mbunge huyo matata.

"Yalikuwa makubwa sana hivi kwanga wanahistoria wa siasa walikimbia huko kuandika vitambu," Kuria alitania.

Mbunge huyo alitaka Wakenya wamuombee akisema kuna maadui ambao wanamuandama.

Mbunge huyo amekuwa mmoja wa wale ambao hukosoa uongozi wa Rais Uhuru Kenyatta hadharani huku akisema amesahau na wafuasi wake wa Mlima Kenya.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →