This archive report was first published on 12 December 2019.
Kituo cha Habari TUKO kinatoa habari za kusisimua kutoka Mwiki, Kiambu ambapo mama alijuta baada ya kutandikwa na mamake kwa kufulia nguo za mpenzi wake nyumbani kwao.
Alipomuuliza bintiye kuzihusu, mama alikiri zilikuwa ni za mpenzi wake na alizibeba ili amsaidie kuzifua.
Alipomwacha nguo hizo hala hala, mwanadada alizichukua na kuzirudisha kwa jamaa.
Maneno ya kidosho yalimpandisha mizuka mama ambaye aliamua kuzianua na kuzitupa chini.
"Hapa kwangu sitaki kuona vitu vya wanaume," mama aliwaka huku akimzaba bintiye makofi kadhaa.
Kituo cha Habari TUKO kinatoa habari za kusisimua kutoka Mwiki, Kiambu ambapo mama alijuta baada ya kutandikwa na mamake kwa kufulia nguo za mpenzi wake nyumbani kwao.