Skip to main content

Jamaa atiwa mbaroni kwa kusimama barabarani kuomba Rais Kenyatta kazi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 11 December 2019.

Msafara wa Rais Uhuru Kenyatta ulikuwa umelindwa na kikosi cha usalama mkali ili kuhakikisha kiongozi wa taifa hayuko kwenye hatari.

Uvinalies Nyabuto alisimama katika barabara ya State House wakati msafara wa Rais ulikuwa ukitoka kwenye kongamano katika jumba la KICC.

Alibeba bango kubwa juu lililokuwa likumuomba Rais Kenyatta kazi.

"Mheshimiwa Rais nakuomba tafadhali unipe nafasi ya kujiunga na jeshi la Kenya. Naomba msamaha kwa kutoheshima kikosi chako cha usalama. Tafadhali Mheshimiwa Rais," bango hilo lilisoma.

Maafisa wa usalama wa rais walikabiliana na Nyabuto na kumtia mbaroni na akazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kilimani.

Maafisa wa kikosi cha usalama wa rais walimnyanyua na kumpeleka katika kituo cha polisi cha Kilimani.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →