Skip to main content

Mwanamuziki Benachi ajivunia gari la kifahari baada ya kuhamia Marekani

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 10 December 2019.

Benachi amemaliza kipindi cha maisha magumu baada ya kuhamia Marekani na mkewe, na sasa anaishi maisha matamu.

Aliandika kwenye mtandao wa Instagram kwamba alikuwa na maisha magumu jijini Nairobi, lakini sasa ana gari la kifahari na familia nzima.

Aliandika, "Niliteseka sana wakati nilikuwa nikijitafutia riziki jijini Nairobi, sikuwahijua kuwa siku moja ningemiliki gari, hakuna anayejua mipango ya Mungu, kwa kweli Mungu ni mkuu."

Benachi pia alifichua kwamba hakuwa hata na nauli ya kumpeleka jijini wakati alipokuwa bado humu nchini.

Aliandika, "Niliteseka sana wakati nilikuwa nikijitafutia riziki jijini Nairobi, sikuwahijua kuwa siku moja ningemiliki gari, hakuna anayejua mipango ya Mungu, kwa kweli Mungu ni mkuu."

Benachi na mkewe wanaishi Marekani na kwa pamoja wamejaliwa mtoto mmoja.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →