Skip to main content

Mwanawe wa Kijana Wamalwa Ameaga Dunia

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 9 December 2019.

Mwanawe wa kiume wa aliyekuwa naibu wa rais Kijana Wamalwa ameaga dunia akiwa nyumbani kwao mtaani Milimani mjini Kitale.

Aliaga dunia Jumapili, Disemba 8, 2019, kutokana na ugonjwa wa kisukari, kwa mujibu wa ripoti kutoka kwa familia yake.

Robert Wamalwa, baba wa marehemu, alisema, "Mpwa wangu alikuwa akiugua kutokana na ugonjwa wa kisukari, huenda huo ndio uliosababisha kifo chake, hata hivyo tunasubiri mwili wake ufanyiwe upasuaji ndiposa tubaini kilichomuua," kwa mujibu wa Daily Nation.

Wamalwa alitupilia mbali madai kuwa marehemu alifariki kutokana na unywaji pombe kupita kiasi na kwamba pia alikuwa akisumbuliwa kimawazo.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →