Skip to main content

Viongozi wa Bonde la Ufa Wanataka Refarenda Ifanyike Agosti 2021

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 8 December 2019.

Viongozi wa Bonde la Ufa Wanataka Refarenda Ifanyike Agosti 2021

Wakiongozwa na aliyekuwa gavana wa Bomet Isaac Ruto na mbunge wa Cherang'any Joshua Kutuny, viongozi hao walisema kamati inafaa kuundwa ili iokote sahihi za kuanzisha mchakato wa refarenda.

Walisema bunge linafaa kuharakisha na kuunda sheria kuhusu refarenda sawa na kufanyia tume huru ya mipaka na uchaguzi (IEBC) mageuzi ili iwe tayari kuendesha kura ya maamuzi.

Wananchi wanafaa kuachiwa nafasi ya kuamua kuhusu BBI, na serikali inapaswa kushughulikia hali ya kiuchumi nchini kwa sasa wakiteta kuna uhaba wa fedha.

Alama ya kundi hilo ni sawa na ule wa viongozi wengine pia kutoka bonde la ufa wanaoegemea upande wa Naibu Rais William Ruto.

Published on December 8, 2019

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →