Skip to main content

Chuo Kikuu cha Daystar: Hali ya Wasiwasi baada ya Transfoma kulipuka

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 4 December 2019.

Chuo Kikuu cha Daystar kilikuwa katika kisasi baada ya transfoma kulipuka karibu na maeneo ya kuegesha magari mwendo wa saa kumi unusu Jumatano, Disemba 4, 2019.

Maafisa wa usalama katika chuo hicho walitoa taarifa kwamba kisa hicho kilishughulikiwa kwa muda ufaao, na hakuna maafa yaliyoripotiwa.

"Hakuna maafa yaliyoripotiwa, lakini gari la mmoja wa wanafunzi liliteketea kwenye mkasa huo," alisema Mkuu wa usalama wa chuo hicho, Steve Leakono.

Kenya Power bado haijatoa taarifa kufikia sasa kuhusiana na kisa hicho.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →