Skip to main content

Mama Akamatwa Tanzania Kwa Kumuua na Kumla Mwanawe

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 22 November 2019.

Polisi nchini Tanzania wamekamatwa mwanamke mwenye umri wa miaka 38 baada ya kumchinja, kumpika na kisha kumla mwanawe.

Christina Mlewa alikashifiwa kwa kumuua kijana wake mwenye ulemavu Jumatano, Novemba 20, 2019.

Ufichuzi wa mama huyo ulifanyika katika kijiji cha Mavanga mkoa wa Njombe.

Alikiri kutekeleza kitendo hicho na kufichua kuwa alitupa baadhi ya sehemu za mwili wake kwenye choo na zingine kichakani.

Polisi walipata mabaki ya mwili wa kijani huyo kichakani baada ya ufichuzi wa mama huyo.

Polisi wameanzisha uchunguzi kubaini kilichompelekea mama huyo kuteketeleza kitendo hicho.

Imeambatanishwa kuwa mama huyo yuko na akili timamu na hii sio mara yake ya kwanza kujaribu kumuua mwanawe.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →