Skip to main content

Uchaguzi Kibra: DP Ruto adai Raila alitumia makundi haramu kupata ushindi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 9 November 2019.

Uchaguzi Kibra: DP Ruto adai Raila alitumia makundi haramu kupata ushindi

Naibu Rais William Ruto amemkabili kinara wa ODM Raila Odinga kwa kutumia makundi ya haramu kupata ushindi katika uchaguzi wa Kibra.

Alisema kuwa Raila hakuna sera za kushinda kura kando na kutumia makundi ya haramu ili kupata ushindi.

Alisikitika kuwa Raila hakupata funzo lolote kutokana na salamu za maridhiano baina yake na Rais Uhuru Kenyatta.

Uchaguzi wa Kibra ulikumbwa na machafuko ya aina yake huku wafuasi wa Jubilee na viongozi wakiwa waathiriwa wakubwa.

Aliyekuwa seneta wa Kakamega Boni Khalwale, mbunge wa Lang'ata Nickson Korir, Oscar Sudi (Kapsaret), Charles Jangua (Starehe) na Didmus Barasa (Kimilili) walikuwa tu baadhi ya viongozi wa Jubilee ambao walishambuliwa na vijana.

Imran Okoth wa ODM alitangazwa mshindi baada ya kupata kura 24,636 dhidi ya 22,200 za McDonald Mariga wa Jubilee.

Naibu Rais William Ruto amemkabili kinara wa ODM Raila Odinga kwa kutumia makundi ya haramu kupata ushindi katika uchaguzi wa Kibra.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →