This archive report was first published on 2 November 2019.
Wakenya wamekopa KSh 140 bilioni kutoka kwa huduma ya kampuni ya mawasiliano ya Safaricom, Fuliza, kwa muda wa miezi 9.
Iliongezeka kwa matumizi ya huduma hiyo, Fuliza, liliinua mapato ya M-Pesa kuanzia mapema Januari, mwaka huo.
Viwango vya mapato vinavyotokana na malipo ya kwa njia ya simu viliinuka na kukaribiana na vile vya matumizi ya kawaida ya maongezi.
Wakenya wafuliza KSh 140 bilioni kwa muda wa miezi 9.