Skip to main content

Waziri Fred Matiang'i's Heartfelt Message to KCPE Candidates

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 29 October 2019.

Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i alijumuika na watahiniwa wa darasa la nane katika shule ya msingi ya Gilgil ambapo alishiriki maombi maalumi kabla ya mtihani wa kitaifa wa darasa la nane kuanza Oktoba 29, 2019.

Alipofika kaunti ya Nakuru kukagua jinsi shughuli za mitihani zilivyokuwa zikiendesha, Matiang'i alitoa maombi ya kibinafsi kwa watahiniwa wa KCPE.

"Tunamkushukuru Mungu kwa kutubariki na hawa watoto, wanapoaanza kufanya mtihani wao, tunawaombea kila la heri na tuko na uhakikaka kwamba watafaulu," Matiang'i aliomba.

Alipomwomba walimu wanaosimamia mitihani ya kitaifa kote nchini, Matiang'i alitoa imani kwamba shughuli hiyo itafanywa ipasavyo.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →