This archive report was first published on 29 October 2019.
Ukiondoa kosa la kocha Unai Emery kwa kutoa adhabu kwa wachezaji Mesut Ozil na Nicolas Pepe, kambi ya Arsenal imekuwa na hali mbaya kwa muda mrefu.
Wachezaji wa Arsenal wanasema kutofautiana na adhabu iliyotolewa kwa Ozil na Pepe, ambao wamekabidhiwa kikosini huku wakiwa na muda mfupi wa mchezo uwanjani.
Rekodi mbovu ya matokeo walioandikisha Arsenal hivi majuzi imewafanya kubanduliwa kutoka katika nafasi ya timu nne bora hadi nafasi ya tano nyuma ya Chelsea.
Emery anaonekana kutofautiana na masogora wake baada ya kikosi chake kutoka sare ya 2-2 dhidi ya Crystal Palace ugani Emirates.
Wachezaji wa Arsenal wanasema kutofautiana na adhabu iliyotolewa kwa Ozil na Pepe, ambao wamekabidhiwa kikosini huku wakiwa na muda mfupi wa mchezo uwanjani.
Rekodi mbovu ya matokeo walioandikisha Arsenal hivi majuzi imewafanya kubanduliwa kutoka katika nafasi ya timu nne bora hadi nafasi ya tano nyuma ya Chelsea.
Emery anaonekana kutofautiana na masogora wake baada ya kikosi chake kutoka sare ya 2-2 dhidi ya Crystal Palace ugani Emirates.
"Kutengwa kwa wawili hao kumeibua mjadala huku ripoti zikienea nchini Uingereza kuwa kumeanza kuwa na mgawanyiko miongoni mwa wachezaji," inasema mmoja wa wachezaji wa Arsenal.