Skip to main content

Mshukiwa wa Mauaji ya Padri Michael Kyengo Akiri Kuwa Lililipwa KSh 1,500

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 26 October 2019.

Alhamisi, Oktoba 24, Kavivya Mwangangi alikamatwa na kuhusishwa na mauaji ya padri Michael Kyengo.

Alipoelezea mahakama jinsi alivyomfunga padri huyo mikono na miguu kabla ya kumkata kwa panga.

Alidai kuwa alilipwa KSh 1,500 na rafikiye kutekeleza mauaji hayo.

Alisema kuwa rafikiye alikuja kwake akiwa na gari na alinipatia kamba na kuniagiza nimfunge jamaa huyo miguu na mikono.

Alielekea hadi mtoni apambo na kumkata kwa panga.

Alipewa KSh 1,500 kwa kutekeleza mauaji hayo.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →