Skip to main content

Abiria Mmoja wa Kike Alazimika Kuvaa Nguo Zenye Uzani wa 2.5 kg Kuepuka Gharama za Ziada

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 19 October 2019.

Abiria mmoja wa kike alikuwa tayari kuabiri ndege lakini uzito wa kasha lake ulizidi mara tisa ya unaoruhusiwa, na akazimwa kuvaa nguo zenye uzani wa 2.5 kg.

Gel Rodriguez aliyekuwa akitokea Jijini Davao, nchini Ufilipino, alikuwa tayari kuabiri ndege lakini uzito wa kasha lake ulizidi mara tisa ya unaoruhusiwa.

Alisema alifurahia safari yake sana ingawa mapema alikuwa na wasiwasi kuhusu safari yake, na uzani wa mzigo wake ulipungua hadi 6kgs.

Watumiaji wa mtandaoni walifurahia sana kisa cha Gel, na wengi kumuonyesha upendo kwa mbinu yake ya kuepukana na gharama zaidi.

Alisema alikataa kulipia gharama zaidi kwa mzigo wake kwa sababu ilikuwa ni kilo mbili tu zaidi, na akasema alifurahia safari yake sana.

Alisema alikataa kulipia gharama zaidi kwa mzigo wake kwa sababu ilikuwa ni kilo mbili tu zaidi, na akasema alifurahia safari yake sana.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →