Skip to main content

Maafisa wa Polisi Wanapinga Kambi kwa Bobi Wine

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 9 October 2019.

Maafisa wa polisi wamezingira nyumba ya Bobi Wine, mbunge wa Uganda, ili kumzuia kuhudhuria hafla ya muziki kuhusu siku ya uhuru nchini humo.

Bob Wine alionyesha picha za maafisa wa polisi pamoja na wanajeshi aliosema kuwa wamezingira nyumba yake.

Aliongeza kuwa nia yao ni kuhakikisha hajafika kwenye hafla hiyo na hivyo kukosa kuikosoa serikali.

Alisema kupitia mtandao wake wa twitter, Jumatano, Oktoba 9, kuwa maafisa wa polisi wamezingira nyumba yake eneo la One love beach Busabala.

Alisema kuwa nia yao ni kumzuia kuhudhuria hafla ya muziki kuhusu uhuru wa nchi ili nisikosoe serikali.

Alisema kuwa sasa siwezi kuimba katika nchi yangu.

Bob Wine amejijengea jina kwa kuwa mkosoaji mkuu wa Rais Museveni katika kipindi ambapo wengi bado wanamhofia.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →