Skip to main content

Seneta Omanga atikisa kiuno na kusisimua wafuasi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 7 October 2019.

Seneta Millicent Omanga, mmoja wa viongozi wa kike wa kundi la Inua Mama, alikuwa na umbo lake la kuvutia wakati wa mkutano wa kundi hilo eneo la Kandara.

Alipofika kwenye mkutano, Omanga alijilegeza na kisha kusakata ngoma huku akitingisha umbo lake la kuvutia na kufanya wafuasi wake kuzama kwenye fikri za matamanio.

Video ya mkutano huo ilikuwa na umuhimu mkubwa kwa wafuasi wake, ambao walitamani wawe na umbo kama hilo la kuvutia wakisakata densi.

Omanga hujivunia umbo lake licha ya kuwa munene kiasi, na kuna wakati amewahi kiri kwamba anayapenda makalio yake kupindukia.

Alipokata kiuno, Omanga alionyesha umahiri wake katika sekta hiyo, na kuwaacha viongozi wenzake wakishangaa alijulia wapi kusakata densi za kisasa.

Video hiyo iliwafurahisha wafuasi wake, na kuonyesha kuwa Omanga ni mmoja wa viongozi warembo kwenye mabunge ya kitaifa.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →