Skip to main content

Maafisa wa Polisi Watakaunti ya Kitui Wakamatwa na Bangi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 3 October 2019.

Maafisa wa polisi watano wa Kitui waliokamatwa Jumatano, Oktoba 2, 2019, baada ya kupatikana wakisafirisha bangi pamoja na bidhaa zingine zinazoshukiwa kuwa haramu.

Waliokamatwa hao walitiwa mbaroni katika soko la Kanyonyoo kwenye barabara ya Garissa-Thika Highway.

Maafisa wa polisi walikamatwa na bangi kwenye barabara ya Garissa-Thika. Picha: Standard

Maafisa wa polisi walikuwa na mifuko 68 ya bangi iliyokuwa ikisafirishwa kwenye gari la polisi, pamoja na shilingi 239,500 na kilo 300 za mchele.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →