This archive report was first published on 19 September 2019.
Wakaazi wa kijiji cha Godmiaha eneo la Rachuonyo Mashariki, Kaunti ya Homa Bay, walizua taharuki wakati mwanamume mwenye umri wa miaka 38, aliyekuwa anaaminika kufariki, alijitokeza wakati wa mazishi kuthibitisha alikuwa hai.
Antonina Mikhailovna, mama mwenye umri wa miaka 62, alidhania kuwa mwanawe wa kiume, Konstantin, alikuwa amefariki na kishwa mwili wake kuchomwa. Hata hivyo, siku moja wakati Mikhailovna alifungua mlango wake, Konstantin, ambaye mwili wake ulikuwa umeteketezwa, alikuwa amesimama mbele ya mlango wake.
Wakati familia ya Konstantin walikuwa wamemuandalia hafla ya mazishi ambapo pia mwili wake ulichomwa, Konstantin alijitokeza na kuwaelezea familia yake kwamba alikuwa amesimama na kuwa na mwili wake.
Familia hiyo ililazimika kuwaomba maafisa wa polisi msamaha kwa kufanya makosa wakati wa kutambua mwili wa jamaa wao, kwa kudai walikuwa wamechanganyikiwa sana wakati huo na kuchoma mwili wa mtu tofauti.