This archive report was first published on 13 September 2019.
Yvonne Chaka Chaka, mwanamuziki maarufu kutoka Afrika Kusini, amepakia picha za wajukuu wake mitandaoni, na kuonyesha kuwa wajukuu hao ni barafu wa moyo kwake.
Alipakia picha za wajukuu wake, wengi wamezea mate kwa kuona sura za kupendeza za watoto hao.
Alielezea kuhusu hisia zake za kuwahusu wajukuu wake, Yvonne Chaka Chaka alidokeza kuwa safari yake ya kuwalea kama nyanya yao imekuwa ya kufanana.
"Naweza shinda nao kutwa nzima, kisha niende kufanya kile mabacho kinafurahisha moyo wangu- kuwatumbuiza watu, kabla ya kuwarejesha kwa wazazi wao," alisema.
Watoto hao wawili walirithi urembo kutoka kwa nyanya yao na tayari wanaonekana kuwa watakuwa viongozi wa kutajika siku za usoni.
Aliposhiriki picha za wajukuu wake, mashabiki wake walifurahishwa na kile walichokiona, na walifurika katika ukurasa wake wa Instagram kuusifia urembo wa wajukuu wake.
Aliposhiriki picha za wajukuu wake, mashabiki wake walifurahishwa na kile walichokiona, na walifurika katika ukurasa wake wa Instagram kuusifia urembo wa wajukuu wake.