Skip to main content

Maafisa wa Raila Odinga Wakabiliana na Maafisa wa Trafiki Nakuru

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 5 September 2019.

Maafisa wa usalama wa Raila Odinga waliagizwa kusimama lakini wakadinda baada ya kufungiwa njia na wanabodaboda walisimama na kutoka wamejihami kwa bunduki.

Maafisa hao walikuwa wamefuatwa na wale wa trafiki kwa madai ya kuendesha gari kwa kasi na kudaiwa kukataa kusimama walipoagizwa kufanya hivyo.

Maafisa wa usalama wa Raila walizua kioja Nakuru baada ya kukataa kusimama walipoagizwa kufanya hivyo na trafiki. Picha: Pristone Mambili

Maafisa hao walipelekwa katika kituo cha polisi cha Central ambapo duru ziliarifu walizungumza na OCPD wa kituo hicho kabla ya simu moja kuingia 'kutoka juu' na kuagiza watano hao kuachiliwa ili waendelee na safari yao.

Maafisa hao walikuwa wanaelekea katika hafla ya ukumbusho wa mwanawe Raila Fidel Odinga, lakini Raila wala jamaa ya familia yake hawakuwa kwenye msafara huo.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →