Skip to main content

Kalameni Porwa Kitu Kile na Demu Akiyemchota Mtaani

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 3 September 2019.

Alama mbaya ya uroda ilionekana baada ya kalameni kuporwa kitita cha KSh 10,000 na mwanadada akiyemchota mtaani.

Penyenye zinasema kwamba, baada ya wawili hao kulishana mahaba kipusa, kalameni aliomba kuenda msalani lakini hakurejea chumbani.

Alipomtafuta kipusa, aligundua kuwa mwenzake tayari alikuwa ametoweka baada ya kumpora hela zake zote.

Landilodi alimkuta kalameni akinuna kwa mahangaiko na baada ya kumhoji aligundu alikuwa amepoteza hela.

"Wewe nakujua vizuri. Una mke na watoto nyumbani. Umekuwa ukinyemelea vipusa mtaani na sasa wamekutenda," landilodi alimwambia kalameni.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →