Skip to main content

Maafisa wa Sensa Kanamai, Kilifi Kusini Waripotiwa Kususia Kazi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 26 August 2019.

Maafisa wa sensa wapatao 70 wa Kilifi Kusini, Kaunti ya Kilifi waliripotiwa kususia kazi baada ya kudai malipo ya marupurupu ya kushiriki zoezi la mafunzo kuhusu sensa Jumatatu, Agosti 26.

Maafisa hao waligoma kuendelea na kazi 4pm na kufanya maandamano barabarani, kwa mujibu wa ripoti ya K24.

Maafisa hao walidai zaidi ya KSh 2,000 pesa za marupurupu ya kushiriki zoezi la mafunzo kuhusu kuhesabu watu, walizofaa kulipwa kabla ya zoezi hilo kuanza rasmi.

Ingawa hiki ni kisa cha kwanza tangu zoezi hilo kuanza rasmi Jumamosi, Agosti 24, maafisa hao walisema walisusia kazi baada ya kupata habari kuwa, wenzao katika maeneo mengine walikuwa wamelipwa tayari.

Maafisa hao walisema walisusia kazi baada ya kupata habari kuwa, wenzao katika maeneo mengine walikuwa wamelipwa tayari.

Be the first to react

Follow the next update

Build Nyakundi Report with us

Join the official channels for story updates, video drops, and alerts from the newsroom. Call 0710 280 973.

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →