This archive report was first published on 24 August 2019.
On August 24, 2019, Deputy President William Ruto and his family were among the first Kenyans to be counted in the 2019 census.
They were counted in the evening at their Karen home, accompanied by his wife Rachel Ruto, son Nick Ruto, and other children.
Maafisa wa kuhesabu watu walifika nyumbani kwa Ruto mtaani Karen baada ya zoezi hilo kung'oa nanga.
"Zoezi la kuhesabiwa ni muhimu ili kuwezesha serikali kupanga miradi na huduma kwa wananchi," Ruto alisema.
At the same time, other census officials were at the home of ODM leader Raila Odinga for the same exercise.
"Nimekaribisha maafisa wa kuhesabu watu nyumbani na tumehesabiwa kama familia. Nawatakia maafisa wa kuwahesabu watu kila la kheri wakati wanapoendelea na zoezi hilo. Nawataka wote kushirikiana nao ili kurehisisha kazi yao," Raila alisema.