Skip to main content

Gavana Waititu aachiliwa huru kwa dhamana ya KSh 15M na masharti mazito ▷ Kenya News

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 30 July 2019.

Magazeti ya Kenya Jumanne, Julai 30, 2019: Gavana Waititu aachiliwa huru kwa dhamana ya KSh 15 milioni pesa taslimu, lakini dhamana hiyo pia inaandamana na masharti.

Wakati wa kuachiliwa huru, Waititu hatoruhusiwa kukaribia wala kuingia katika ofisi za Kaunti ya Kiambu wala kuwasiliana na mashahidi. Pia ametakiwa kuwasilisha stakabadhi zake za kusafiria nje ya nchi kortini.

Wakati huohuo, mahakama imemwachilia huru mke wa gavana huyo kwa dhamana ya KSh 4 milioni huku maafisa wengine walioshtakiwa na wawili hao kuhusiana na madai ya ufisadi wakipewa dhamana ya KSh 1 milioni kila mmoja.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →