Skip to main content

Mke wa Timbwani Alichapisha Mume Kwa Kumuoa Kipusa

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 25 July 2019.

Timbwani, Likoni, Mombasa: Mke wa eneo hilo alishuhudia sinema ya bure baada ya kumtishia mumewe alipogundua alikuwa na njama ya kumuoa mke wa pili.

Penyenye zinaarifu kwamba jamaa huyo na mkewe walihamia pwani ili kukwepa visirani vya mara kwa mara bara.

Maisha yao yalianza kunawiri na kupata mali baada ya biashara yao kunawiri.

Alhamisi, mama huyo alipata fununu kwamba mumewe alikuwa ameanza uhusiano wa kimapenzi na kipusa mmoja wa eneo hilo.

Alibaini kwamba ilikuwa kweli na hata jamaa alikuwa anapanga tayari kumuoa mwanadada huyo.

Alipata hasira na kuchana mavazi aliyokuwa amevaa na kuapa kumfunza mumewe adhabu ambayo ataikumbuka milele maishani.

Alingiwa na baridi na kukatiza ghafla uhusiano wa mapenzi na mipango ya kumuoa kidosho huyo kufuatia vitisho alivyopewa na mkewe.

Source: Tuko

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →