Skip to main content

Mbunge John Waluke Awaomba Msamaha Baada ya Matamshi ya Uchochezi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 23 July 2019.

Mbunge wa Sirisia John Waluke ameomba msamaha kwa jamii ya Waluo na wengine baada ya kutoa matamshi yaliyodaiwa kuwa ya uchochezi.

Waluke alijutia matamshi yake na kudai hakuwa na nia ya kumkwaza yeyote wala kusababisha mtafaruku katika jamii ya Waluo.

Alizungumza katika majengo ya bunge Jumanne Julai 23, Waluke alijutia matamshi yake na kudai hakuwa na nia ya kumkwaza yeyote wala kusababisha mtafaruku katika jamii ya Waluo.

Waluke alisema atafanya kila awezalo kuhakikisha kwamba Tuju anarejea kwa jamii yake ya Waluo ambayo haina mwelekeo.

Alipotakiwa kufika mbele ya Tume ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa (NCIC), Alhamisi Julai 25 ili kuhojiwa kuhusu matamshi ya uchochezi, Waluke alijutia kutoa matamshi hayo na ameahidi kushirikiana na tume ya NCIC kwa vyovyote vile.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →