Skip to main content

Malawi: Mshambulizi Hassan Kajoke apokea kuku kama zawadi kwa kuandikisha matokeo bora

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 23 July 2019.

Julai 21, 2019, siku ya Jumapili, Hassan Kajoke, mshambulizi kutoka Malawi, alikuwa mchezaji bora katika ligi dhidi ya malimbukeni Karonga United TNM.

Mechi hiyo iliyoandaliwa katika uwanja wa Kamuzu, ilishuhidiwa Nyasa Big Bullets wakiwapachika wapinzani wao mabao 5-0, huku Kajoke akiibuka kuwa mchezaji bora katika mechi hiyo.

Alitunukiwa kuku baada ya kuandikisha matokeo bora, na shabiki wake aliyemuomba ruhusa ili kumkabithi zawadi yake.

Shabiki huyo alihakakikisha kuwa kuku huyo ana rangi sawia na jezi waliokuwa wamevalia mabingwa hao wa Super Ligi.

Clubs hiyo ilianika picha ya Kajoke akipokea kuku huyo kwenye mtandao wao wa Facebook, na kuibua hisia mseto mtandaoni.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →