This archive report was first published on 20 July 2019.
Zari Hassan, anayejulikana kama 'the Boss Lady', amefunga ndoa ya kimyakimya na mchumba wake wa siri 'King Bae' baada ya kufanya uhusiano wao kuwa wazi. Picha: Zari/Instagram
Zari Hassan, aliyekuwa mke halali wa marehemu Ivan Ssemwanga, alikuwa amezungumza na Millard Ayo nchini Tanzania na kusema harusi yake ingefanyika Afrika Kusini na baadaye kumpeleka King Bae nchini Uganda kukutana na baba na familia.
Zari Hassan, aliyekuwa mke halali wa marehemu Ivan Ssemwanga, alikuwa amezungumza na Millard Ayo nchini Tanzania na kusema harusi yake ingefanyika Afrika Kusini na baadaye kumpeleka King Bae nchini Uganda kukutana na baba na familia.
Tayari King Bae amemnunulia Zari kasri jijini Pretoria watakayoanza kukaa kuanzia Septemba baada ya kukamilika mchakato wa ununuzi.
Tayari King Bae amemnunulia Zari kasri jijini Pretoria watakayoanza kukaa kuanzia Septemba baada ya kukamilika mchakato wa ununuzi.
Zari Hassan, aliyekuwa mke halali wa marehemu Ivan Ssemwanga, alikuwa amezungumza na Millard Ayo nchini Tanzania na kusema harusi yake ingefanyika Afrika Kusini na baadaye kumpeleka King Bae nchini Uganda kukutana na baba na familia.