Skip to main content

Jamaa alazimika kukesha steji baada ya kuonyesha ujeuri kwa wanaboda

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 9 July 2019.

Julai 9, 2019 - Mtu mmoja alilazimika kukesha kando ya barabara baada ya wanaboda kususia kumbemba kwake kwa madai kwamba ana mazoea ya kutolipa nauli.

Wanaboda walisimulia kwamba jamaa huyo alikuwa na tabia ya kutolipa madeni, hata kwa kuwa alikuwa na mshahara mnono kila mwezi.

Alilazimika kupigwa na kibaridi usiku kucha baada ya kufunga kazi na kuelekea zake.

Asubuhi ilipowadia, mkewe aliwasili stejini na kumpata mumewe akiwa angali hapo asijue la kufanya.

Alisimuliwa na kisha mkewe aliwaeleza wahudumu kwamba atakuwa akiwalipa hela zao mwenyewe wakimfikisha mumewe nyumbani.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →