Skip to main content

Polisi wasubiri matokeo baada ya wafungwa 20 kupatwa na virusi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 19 July 2020.

Wafungwa 20 katika vituo vya polisi vya Thika na Makongeni wamepatwa na virusi vya maradhi ya Covid-19 kwa jumla.

Ukaguzi huo ulianza baada ya wafungwa wawili kuonyesha dalili za kuwa na maambukizi ya ugonjwa huo.

Maafisa kadhaa wa polisi wamefanyiwa ukaguzi pia na sasa wanasubiri matokeo.

Maafisa sita katika kaunti hiyo ambao wamekwisha kutwa na virusi hivyo tangu ugonjwa huo uzuke mwezi Machi.

Ukaguzi huo ulianza baada ya wafungwa wawili kuonyesha dalili za kuwa na maambukizi ya ugonjwa huo.

Maafisa kadhaa wa polisi wamefanyiwa ukaguzi pia na sasa wanasubiri matokeo.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →