Skip to main content

Gavana wa Mombasa Hassan Joho: Mwimbaji Akothee anammezea Mate

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 15 July 2020.

Video ya Gavana wa Mombasa Hassan Joho akipiga tizi na kubakia kama simba ilichemsha mabinti, haswa mwimbaji Akothee.

Msanii Akothee alikuwa miongoni mwa wale waliomtazama Joho na mate kuwatoka baada ya kupata taswira ya mengine.

"Gavana wangu nambari moja, anavutia kama kawaida," alisema Akothee.

Video ya Joho akipiga tizi na kubakia ilionyesha nguvu za misuli yake huku akiinua vyuma kwa njia iliyoonyesha yuko sawa kabisa.

Uchunguzi wa Joho kufanya mazoezi na kuwaacha wafuasi wake, haswa wale wa kike, wakimwaga mate.

Uchunguzi wa Joho kufanya mazoezi na kuwaacha wafuasi wake, haswa wale wa kike, wakimwaga mate.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →