Skip to main content

Picha ya Gavana Joho yasisimua wanamtandao na mkoba wa mwanadada

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 9 July 2020.

Picha ya Gavana Joho yasisimua wanamtandao na mkoba wa mwanadada

Wanamtandao wamesema wameanzisha 'uchunguzi' kujua ni binti yupi ameandamana na Gavana Hassan Joho kuenda Dubai kumuona Baba.

Gavana Hassan Joho na mbunge wa Suna Mashariki Junet Mombasa waliandamana na Raila Odinga kuenda Dubai kumuona Baba, kwa mujibu wa picha zilizochapishwa kwenye kurasa za Joho kwenye Facebook.

Walakini, makachero wa mtandaoni walipekua picha hiyo na kugundua kulikuwa na ishara waliandamana na mwanadada.

Picha hizo zinaonyesha kuna mkoba wa mwanadada ambao umewekwa chini ya meza ambapo wawili hao wameandaliwa vitamu.

Maandamano ya mtandaoni yamezua maswali kuhusu mwanadada ambaye alikuwa na mkoba huo.

Maoni ya baadhi ya wanamtandao kuhusu picha hiyo ya Gavana Joho.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →