Skip to main content

Miili ya Watoto Wawili Waliopotea Yapatikana Ikioza Ndiya Gari

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 2 July 2020.

Kituo cha polisi cha Athi River, kilichopo katika kaunti ya Machakos, Kenya, kimeanzisha uchunguzi baada ya miili ya watoto wawili kupatikana ikioza ndani ya gari lililoegeshwa katika kituo hicho.

Wakati wa kuwasilisha taarifa hii, Juni 2, 2020, Kamanada wa kituo hicho, Catherine Ringera, alisema kwamba watoto hao waliripotiwa kutoweka Juni 11, 2020.

Wawili hao walitoweka mtaa wa KMC wakicheza nje ya nyumba yao, na maafisa wa kituo hicho walisema kwamba ripoti ya kutoweka kwa wawili hao ilipigwa katika kituo hicho na kupelekea kwao kuanza kuwasaka hadi Jumanne, Juni 30, 2020, wakat miili yao ilipopatikana.

Uchunguzi wa kisa hicho unaendelea, na miili ya wawili hao inahifadhiwa katika makafani ya Chiromo baada ya wazazi wao kutambulika.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →