Skip to main content

Mwanahabari wa Zamani wa Nation Timothy Kemei Afariki Dunia

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 29 June 2020.

Mwanahabari wa zamani wa Nation Media Group, Timothy Kemei, alikuwa katika hali nzuri kiafya kabla ya kifo chake mnamo Jumapili, Juni 28, 2020.

Alitumia kitandazi cha Twitter kumpongeza Rais wa Malawi, Lazurus Chakwera kwa ushindi wake.

Alitumia Facebook kuwakaribisha wakazi wa Kericho kujiunga naye katika kufuatialia ibada ya Jumapili ya Kanisa la African Gospel Church (AGC) Kericho.

Alikuwa mfanyakazi wa serikali wa Kaunti ya Kericho, na alikuwa na bidii na nguzo muhimu katika uongozi wake, kwa mujibu wa Gavana wa Kericho, Paul Chepkwony.

Alitumia Facebook kuwakaribisha wakazi wa Kericho kujiunga naye katika kufuatialia ibada ya Jumapili.

Alikuwa na uraibu wa kutokuwa na mapendeleo katika kuripoti habari kipindi kizima alichohudumia serikali ya Kaunti hiyo.

Alimuacha nyuma mjane na mtoto wa kiume wa miaka miwili.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →