This archive report was first published on 28 June 2020.
Polisi Malava walilazimisha familia ya Maureen Khalwale kuchukua kwa nguvu mwili wake baada ya mvutano kuhusu mahali pa kumzika.
Maureen Khalwale alikuwa mke wa 67 akiwa amekimbia nyumbani kwake miaka sita iliyopita.
Alisema hakuna rekodi yoyote ya kuonyesha kuwa alimpa talaka mke wake na pia aliongezea kuwa marehemu alitoroka nyumbani kwake na kiasi kikubwa cha pesa zake.
Wazazi wa Maureen kwa upande wao, walisema wakati mwanao alikuwa anaaga dunia alikuwa nyumbani kwao na hivyo mjane wake hana mamlaka ya kuitisha mwili wake.
Alisema hakuna rekodi yoyote ya kuonyesha kuwa alimpa talaka mke wake.
Polisi walilazimisha familia kuchukua kwa nguvu mwili wake baada ya mvutano kuhusu mahali pa kumzika.
Maafisa wa polisi walipeleka mwili huo katika Kituo cha Polisi cha Kabras na kudai wataondoa mwili huo endapo upende zote mbili zitakubaliana.