This archive report was first published on 20 June 2020.
Polisi Wamematisha Vijana 38 Wakishiriki Ufuska ¶
Polisi kaunti ya Kisii wamewatia nguvuni vijana 38 waliopatikana kwenye sherehe ya kujivinjari bila kuzingatia maagizo kuhusu kukabili covid-19 eneo la Ogembo, Juni 20, 2020.
Waliokamatwa ni wavulana 34 na wasichana wanne baadhi yao wakiwa walevi kiasi cha haja.
Polisi waliwahi kusema kuwa waliokamatwa watapelekwa katika karantini kwa sababu waliingia kwenye sherehe hiyo bila kuzingatia maagizo ya polisi.
Wanafunzi wamekuwa nyumbani tangu mwezi Machi shule zilipofungwa kuhusiana na covid-19.
Wanafunzi wamekuwa nyumbani tangu mwezi Machi shule zilipofungwa kuhusiana na covid-19.