Skip to main content

Mchungaji alazimika kuhama baada ya kutatizwa na mapepo

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 20 June 2020.

Kituo cha Tuko kinaarifiwa kuwa mchungaji aliyekuwa akipata wateja wengi kwa huduma za maombi alilazimika kuhama kwake baada ya kutatizwa na mapepo aliyokuwa ameyatimua kupitia nguvu za maombi.

Alitambulika kwa kukomoa mapepo na hivyo basi wengi walimualika kwao kuwaombea na kutakasa maboma yao.

Alipata tamaa na alianza kutafuta nguvu za giza ili apate pesa, na hivyo basi alianza kushambuliwa nyumbani kwake kila siku hadi akaamua kufunganya virago na kuondoka ili apate utulivu maishani.

Alipata wateja wengi zaidi na hata akaanza kuhudumu kama mganga wa kawaida, lakini alizidi kupata wateja waliomtembelea kwake wakitata huduma za maombi.

Alipata pesa kwa kutafuta nguvu za giza, lakini hayo ndio makosa aliyofanya na mapepo aliyoyafukuza yakaanza kumsumbua.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →