Skip to main content

Mbunge Wanjiku Kibe Arudishwa Mahakamani

N

Nyakundi Report

Newsroom 2 min read

This archive report was first published on 19 June 2020.

Kituo cha Habari cha Nyakundi, tunapata habari kwamba mahakama ya rufaa ya Kenya imeagiza kesi ya kuchaguliwa kwa mbunge wa Gatundu Kaskazini Wanjiku Kibe iskizwe upya.

Uamuzi huu ulikuwa unatokana na uamuzi wa mahakama ya juu ambao ulitupa nje kesi hiyo na kuagiza iskizwe upya ndani ya miezi sita.

Aliyekuwa mbunge wa eneo hilo Clement Waibara amekuwa akipinga kuchaguliwa kwa Wanjiku Kibe akisema alipogombea wadhifa huo hakuwa amejiuzulu kama MCA mteule.

Waibara amekuwa akishikilia kuwa matakwa ya kikatiba hayakuafikiwa na mgombea huyo kama inavyotakikana.

Wanjiku Kibe amekuwa na masaibu ikiwamo ushindi wake kutupiliwa mbali na mahakama kabla ya tena uamuzi huo kufutiliwa na mahakama ya juu.

Kituo cha Habari cha Nyakundi, tunapata habari kwamba mahakama ya rufaa ya Kenya imeagiza kesi ya kuchaguliwa kwa mbunge wa Gatundu Kaskazini Wanjiku Kibe iskizwe upya.

Uamuzi huu ulikuwa unatokana na uamuzi wa mahakama ya juu ambao ulitupa nje kesi hiyo na kuagiza iskizwe upya ndani ya miezi sita.

Aliyekuwa mbunge wa eneo hilo Clement Waibara amekuwa akipinga kuchaguliwa kwa Wanjiku Kibe akisema alipogombea wadhifa huo hakuwa amejiuzulu kama MCA mteule.

Waibara amekuwa akishikilia kuwa matakwa ya kikatiba hayakuafikiwa na mgombea huyo kama inavyotakikana.

Wanjiku Kibe amekuwa na masaibu ikiwamo ushindi wake kutupiliwa mbali na mahakama kabla ya tena uamuzi huo kufutiliwa na mahakama ya juu.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →