Skip to main content

Jamaa ajisalimisha kwa polisi baada ya kumuua mkewe

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

This archive report was first published on 17 June 2020.

Polisi wa Thika walipata mwili wa mama huyo, Bakita Njeri, akiwa juu ya kitanda huku shingo lake likiwa limefunikwa kwa kitambaa, mtaa wa Kiganjo, Thika, Juni 15, 2020.

Polisi kutoka Makongeni walikimbia hadi eneo la tukio na kupata mwili wa mama huyo, ambao ulipelekwa katika makafani ya hospitali ya Thika Level kufanyiwa upasuaji.

Stephen Gikuhi Mwirigi, mshukiwa wa kumuua mkewe, alikuwa na umri wa miaka 30 wakati wa kutokea kwa tukio hilo.

Alimuua mkewe kwa kile polisi wanashuku huenda ilikuwa ni mzozo wa nyumbani, na kisha akajisalimisha kwa polisi siku moja baadaye.

Alipokimbia, Mwirigi alitorokea Tana River kabla ya kujisalimisha kwa polisi.

Polisi kutoka Makongeni walikimbia hadi eneo la tukio na kupata mwili wa mama huyo, ambao ulipelekwa katika makafani ya hospitali ya Thika Level kufanyiwa upasuaji.

Alipokimbia, Mwirigi alitorokea Tana River kabla ya kujisalimisha kwa polisi.

Be the first to react

Support

Support this reporting

M-Pesa support recorded against this story.

Send support →

Stay close

Get the briefing

Major updates by email. No spam.

Get email brief →

Share

Save share card

Download a clean portrait card for sharing.

Save image →