Polisi 3, Koplo wa KDF Wakamatwa Kuhusiana na Wizi wa Peza katika ATM ya Nairobi West

N

Nyakundi Report

Newsroom 2 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 27 September 2019.

Polisi 3, Koplo wa KDF Wakamatwa Kuhusiana na Wizi wa Peza katika ATM ya Nairobi West

Polisi 3 na koplo wa KDF wamekamatwa kuhusiana na wizi wa KSh 75 milioni katika mashine ya ATM ya Nairobi West.

Washukiwa wamekamatwa baada ya makachero kutoka kitengo cha Kuzuia Uhalifu (SCPU) kufichua makosa yao.

Washukiwa wamekamatwa kwa wakati mmoja na KSh 7 milioni kupatikana katika Kaunti za Kisii na Homa Bay.

Septemba 12, washukiwa akiwamo nyanya yao walikamatwa na KSh 2 milioni kupatikana katika boma lao.

Washukiwa wengine wanne walitiwa nguvuni Septemba 26 huku gari aina ya Subaru Forester linaloaminiwa kununuliwa na sehemu ya pesa hizo kukamatwa.

Polisi 3 na koplo wa KDF wamekamatwa kuhusiana na wizi wa KSh 75 milioni katika mashine ya ATM ya Nairobi West.

Washukiwa wamekamatwa baada ya makachero kutoka kitengo cha Kuzuia Uhalifu (SCPU) kufichua makosa yao.

Washukiwa wamekamatwa kwa wakati mmoja na KSh 7 milioni kupatikana katika Kaunti za Kisii na Homa Bay.

Septemba 12, washukiwa akiwamo nyanya yao walikamatwa na KSh 2 milioni kupatikana katika boma lao.

Washukiwa wengine wanne walitiwa nguvuni Septemba 26 huku gari aina ya Subaru Forester linaloaminiwa kununuliwa na sehemu ya pesa hizo kukamatwa.

Polisi 3 na koplo wa KDF wamekamatwa kuhusiana na wizi wa KSh 75 milioni katika mashine ya ATM ya Nairobi West.

Washukiwa wamekamatwa baada ya makachero kutoka kitengo cha Kuzuia Uhalifu (SCPU) kufichua makosa yao.

Washukiwa wamekamatwa kwa wakati mmoja na KSh 7 milioni kupatikana katika Kaunti za Kisii na Homa Bay.

Septemba 12, washukiwa akiwamo nyanya yao walikamatwa na KSh 2 milioni kupatikana katika boma lao.

Washukiwa wengine wanne walitiwa nguvuni Septemba 26 huku gari aina ya Subaru Forester linaloaminiwa kununuliwa na sehemu ya pesa hizo kukamatwa.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...