This archive report was first published on 15 September 2019.
Wakenya na Wanigeria warushiana cheche kali za maneno kuhusu muigizaji Lupita Nyongo ¶
Wanigeria walijaa kwenye mtandao wa Twitter mnamo Jumapili, Septemba 15, 2019, baada ya muigizaji Lupita Nyongo alichaguliwa kuwa mhusika wa hasili ya Kinigeria katika filamu ya Americanah.
Warushiana cheche kali za maneno na Wakenya walijitokeza kwa wingi kumtetea Lupita, kutumia heshitegi #someontellNigeria.
"Wanatakiwa kukoma haya. Tuna waigizaji bora kutoka Nigeria ambao wanaigiza vizuri. Lupita yuko sawa lakini jaribu watu wengine ambao ni Wanigeria. Ataenda kufunzwa jinsi ya kuzungumza Igbo badala ya Mnigeria," aliandika mmoja wao kwa jina Almost a Billionaire.
Warushiana cheche kali za maneno hii kwa muda mrefu, huku Wakenya wakijitokeza kwa wingi kumtetea Lupita.