Mbunge Mteule Maina Kamanda Afurushwa Kanisani Nanyuki

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 15 September 2019.

Alhamisi, Septemba 15, 2019, Mbunge mteule Maina Kamanda alijipata pabaya alipofurushwa kutoka katika kanisa la AIPCA Nanyuki.

Alipofurushwa, Kamanda alishutumiwa kueneza siasa mbaya, na baadhi ya washirika waliokuwa na ghadhabu walikataa kuwepo kwake kwenye kanisa hilo.

Washirika hao walimtaka Kamanda kuondoka mara moja, na kundi hilo lilianza kushiriki nyimbo za kumkejeli mbunge huyo.

Maafisa wa polisi walitumika kukabiliana na hali hiyo, na kufanya kikosi cha maafisa kuitwa ili kukabili hali.

Habari Nyingine: Raila aweka mikakati ili kuepuka aibu Kibra

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...