Mwanamke wa miaka 34 Alikuwa na Ndoa na Mti

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 14 September 2019.

Harusi ya kushangaza ilifanyika mnamo Septemba 7, 2019, katika eneo la Rimrose Valley Park, Merseyside, Uingereza.

Mwanamke wa miaka 34, ambaye pia ni mama wa watoto wawili, alifunga ndoa na mti huku ndugu, jamaa na marafiki wakijitokeza kusherehreka hafla hiyo.

Alivalia rinda la kijani wakati wa harusi hiyo, na picha zilizosambazwa mitandaoni zimefichua umbali ambao mwanadamu ananaweza kufika kulinda uhai wa miti.

Alibadilisha jina lake baada ya kupata 'mume' na kujiita Kate Rose Elder, na mchumba wake alimsaidia katika mipango ya kuandaa harusi hiyo.

Wakazi wa eneo hilo walikuwa wakilalamikia mipango ya ujenzi wa barabara ianyopaswa kupitia katikati mwa bustani hiyo, na wanaamini hatua ya Cunningham itasitisha shughuli hiyo.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...