Mchezo wa Mpira wa Jiwe Uliochezwa Jadi Warejea Kwa Kishindo Nchini Mexico

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 14 September 2019.

Ulama wa mpira wa jiwe uliochezwa jadi ulianza kuufufua nchini Mexico, baada ya kushindwa kuchezwa kwa miongo kadhaa. Mchezo huo ulikuwa na umuhimu mkubwa katika jamii za Aztecs, Maya, na Incas.

Shirika la habari la BBC liliripoti Ijumaa, Septemba 13, 2019, kwamba mpira huo unaweza kuwa na uzito wa hadi kilo nne na kuna aina tofauti za mchezo huo.

Emmanuel Kakaloti, mkufunzi wa mchezo huo, alisema Ulama ulisahaulika na kuachwa kuchezwa lakini sasa unarejea na kutakuwa pia timu ya wanawake.

Wachezaji huvaa mikanda maalum na vitambaa vya kujifunika sehemu za siri kisha hucheza kwa kuusukuma mpira huo kwa viuno vyao.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...