Kipusa Azimia Akimuomba Mume wa Mtu Penzi

N

Nyakundi Report

Newsroom 1 min read

Primary source Kenyan Digest archive

This archive report was first published on 13 September 2019.

Kipusa Azimia Akimuomba Mume wa Mtu Penzi

Kituo cha Habari cha Nyakundi, September 13, 2019 - Kipusa ilishuhudiwa akimuomba mume wa mtu penzi baada ya kipusa kudondoka na kupoteza fahamu akiomba penzi.

Alipoteza fahamu na kuanguka chini ghafla baada ya jamaa kumwarifu kwamba alikuwa na mke tayari.

Alipofika katika eneo la kibiashara la jamaa huyo, alitambulika kama Mwanamkwetu ambaye alimkaribisha vyema kama mteja wa kawaida asijue nia yake.

“Alipofika alinikuta nikiwa na mke wangu eneo la biashara, nadhani hamfahamu, nilipomkaribisha kibiashara akaanza kuniambia kuwa ananipenda tangu siku nyingi na kwamba alikuwa anahitaji tuwe wapenzi,” jamaa alisema.

Aligutushwa na ujasiri wa kipusa huyo kwani kulingana naye sio jambo la kawaida kwa mwanamke kumtongoza mwanamume.

Alionekana mlevi na alipomuuliza ni kwa nini alikuwa amebugia, alimuarifu sababu yake ilikuwa ni apate ujasiri wa kumfungulia roho.

Alikuwa tayari ameoa na hana haja na kuwa na uhusiano naye.

Alipoteza ujasiri wake na kuzimia papo hapo baada ya jibu lilimvunja moyo kipusa.

Next read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim Exposed Over Refusal to Repay Ksh 2 Million Debt as Protest Looms at Talanta Plaza

24 July 2026 · 4 min read

Sports Fund CEO Nuh Ibrahim has been exposed over his refusal to repay a KSh2 million debt to a young businessman, with a peaceful...